Duniani Leo Mamia wajitokeza kusheherekea utawala mpya Burkina Faso 25 Januari, 2022 Your browser doesn’t support HTML5 Mamia ya watu wafurika katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou kusheherekea utawala mpya nchini humo. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari