Mamia ya wakimbizi wa ndani DRC waandamana Goma wakisikitika kuhusu hali mbaya makambini

Your browser doesn’t support HTML5

Mamia ya wakimbizi wa ndani mashariki mwa DRC wameandamana Jumatatu mjini Goma kupinga kile walichodai ni hali mbaya ya maisha inayowakabili katika makambi.

Wakati mapigano yakiongezeka katika viunga vya Bakhmut, ripoti zimeibuka jeshi la Ukraine linaendelea kuwasaidia raia.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari