Marekani inasema inajaribu kudhibiti vita vipana kuenea Mashariki ya Kati

Your browser doesn’t support HTML5

Marekani inajaribu kudhibiti vita vipana Mashariki ya Kati wakati ikionyesha nguvu ya kijeshi na msukumo mkubwa wa kidiplomasia.

Kiongozi wa mpito Namibia asema hana nia ya kugombea urais mwishoni mwa mwaka huu.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari