Marekani yaadhimisha Sikukuu ya Mashujaa

Your browser doesn’t support HTML5

Siku ya Mashujaa, maarufu kama siku ya Armistice, ni sikukuu ya serikali kuu inayo sheherekewa Novemba 11 kwa ajili ya kuwaenzi wanajeshi wa zamani.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari