Mataifa ya Afrika yaeleza changamoto kubwa ya matibabu ya tiba ya Figo

Your browser doesn’t support HTML5

Dunia yaadhimisha siku ya Figo huku mataifa kadhaa ya Afrika yaeleza kuwepo gharama kubwa za tiba hiyo.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari