Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Mazungumzo ya amani kuhusu DRC yaahirishwa, Tshisekedi akutana na Ruto
Your browser doesn’t support HTML5
Mazungumzo ya amani kuhusu DRC yaliokuwa yamepangwa kufanyika Nairobi yameahirishwa, huku Rais wa Kenya William Ruto akikutana na Rais wa DRC Felix Tshisekedi