Mexico yapata rais mwanamke kwa mara ya kwanza

Your browser doesn’t support HTML5

Kwa mara ya kwanza Mexico yapata rais mwanamke ambapo maoni mseto yameendelea kumiminika katika taifa hilo lenye historia ya uhalifu na ukatili wa kijinsia.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari