Mkutano wa viongozi na wataalam Ufaransa wajadili ufadhili wa programu ya mabadiliko ya hali ya hewa

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amefungua mkutano wa viongozi na wataalam mjini Paris kuhusu ufadhili wa programu za mabadiliko ya hali ya hewa.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari