Msimu wa bajeti ya nchi za Afrika Mashariki: Moani mseto kuhusu bajeti zinazowasilishwa

Your browser doesn’t support HTML5

Nchi za Afrika Mashariki leo zinasoma bajeti yake ya 2023/24, huku wachambuzi wakitoa maoni mchanganyiko hususan wakati nchi nyingi zinakabiliwa na hali ngumu ya maisha.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari