Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Mtaalam azungumzia jinsi kusimamisha mpango wa usafirishaji nafaka ya Ukraine utavyoathiri nchi maskini
Your browser doesn’t support HTML5
Mtaalam mwandamizi wa masuala ya kilimo anaamini kusimamisha mpango wa nafaka ambao unaruhusu usafirishaji salama kutoka Ukraine utaumiza nchi maskini.