Rais Biden asema mlipuko katika hospitali iliyoko Ukanda wa Gaza ulionekana haukusababishwa na Israel

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Marekani Joe Biden leo Jumatano amesema mlipuko katika hospitali moja huko Ukanda wa Gaza ulionekana haukusababishwa na Israel.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari