Rais wa DRC amtaka Sam Lukonde kuendelea kwa muda katika wadhifa wake

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amtaka Sam Lukonde kuendelea kwa muda baada ya kujiuzulu.

Rais wa Kenya asema nchi yake haipo tena kwenye hatari ya kushindwa kulipa madeni yake.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari