Rais wa Ecuador aamrisha jeshi kupambana na magenge ya wahalifu

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Ecuador ametoa amri Jumanne kupambana na magenge ya wahalifu baada ya watu wenye silaha kuvamia na kufyatua risasi kwenye studio ya televisheni.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari