Ruto atoa ahadi kadhaa katika maadhimisho ya miaka sitini ya kumbukumbu ya madaraka

Your browser doesn’t support HTML5

Rais William Ruto ametoa ahadi kadhaa wakati akihutubia katika maadhimisho ya miaka sitini ya kumbukumbu ya siku ya madaraka yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Moi.

Ghasia za kijamii na mapigano kati ya majeshi ya Sudan na kikosi maalum cha Rapid Support Forces huko Darfur Magharibi zimeongezeka katika siku za karibuni, kwa mujibu wa ripoti. Walioshuhudia ambao wameukimbia mji wa Geneina wanasema mji wao umesambaratishwa.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari