Spika wa Bunge la Tanzania aeleza wajibu wa bunge kubana matumizi

Your browser doesn’t support HTML5

Spika wa Bunge la Tanzania azungumzia wajibu wa bunge katika kubana matumizi ya serikali.

Serikali ya Tanzania inawahimiza madereva kubadili mfumo wa magari yao kutumia gesi asilia badala ya petroli.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari