Takriban wanajeshi 250 wa Sudan Kusini wameondoka Ijumaa DRC

Your browser doesn’t support HTML5

Takriban wanajeshi 250 wa Sudan Kusini wameondoka Goma, DRC Ijumaa ikiwa ni kundi la karibuni kabisa kutoka kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki kuondoka katika eneo.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari