UN Habitat yafunga kikao chake Nairobi kwa wito wa kuzingatia makazi kama haki ya binadamu

Your browser doesn’t support HTML5

Mkutano wa pili wa Umoja wa Mataifa wa Makazi unafunga kikao chake mjini Nairobi kwa wito wa kuwepo makazi ya kutosha kwa wote na kuzingatia makazi kama haki ya binadamu.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari