Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
UN yasema haina ushahidi kuwa walinda amani walifyatua risasi kwa raia
Your browser doesn’t support HTML5
Umoja wa Mataifa umesema hauna ushahidi hadi sasa kwamba walinda amani wake walifyatua risasi kwa raia katika siku tatu za maandamano ya kupinga vikosi vyake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.