Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Utafiti waonyesha shughuli zimeshuka katika sekta binafsi nchini Kenya
Your browser doesn’t support HTML5
Utafiti umeonyesha kuna kushuka shughuli kwenye sekta binafsi mwezi Juni nchini Kenya kutokana na kupungua biashara kudhoofika kwa soko.