Vikosi vya SADC vyaanza operesheni kupambana na ghasia DRC

Your browser doesn’t support HTML5

Vikosi vya nchi za SADC vimeingia mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kupambana na mvutano na ghasia katika eneo hilo.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari