Viongozi wa Afrika na Korea Kusini wakubaliana kuimarisha ushirikiano

Your browser doesn’t support HTML5

Viongozi wa Afrika na Korea Kusini wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika nchi zao katika mkutano wa kwanza na viongozi wa mataifa 48.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari