Viongozi wa Afrika watarajiwa kukutana na Rais Putin kuimarisha ushirikiano

Your browser doesn’t support HTML5

Viongozi wa Afrika wanatarajiwa kukutana na Rais wa Russia huko St. Petersburg, kwa ajili ya mkutano wa kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari