Waasi wa M23 waelekea Kivu Kaskazini, Serikali yaapa kuukomboa mji wa Goma

Your browser doesn’t support HTML5

Hali ya wasiwasi inaendelea kutanda DRC wakati waasi wa M23 wakiwa wanaelekea Kivu Kaskazini, huku serikali ikiapa kuukomboa tena mji wa Goma

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari