Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Wafanyabiashara nchini Kenya waathiriwa na kupanda gharama za maisha
Your browser doesn’t support HTML5
Kupanda kwa gharama za maisha nchini Kenya kumezidi kuwaathiri wafanyabiashara wadogo wengi wakilazimika kutumia akiba yao kuendelea kubaki kwenye soko.