Wanahabari Afrika Mashariki bado wanatafuta uhuru katika utendaji kazi

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati dunia inaadhimisha Siku ya Uhuru wa Habari Duniani, wanahabari nchini Afrika Mashariki, Jumanne, wameeleza kuwa bado wanasaka uhuru katika utendaji kazi yao, wakieleza jinsi uhuru wao ulivyominywa.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari