Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Wanawake wafanyabiashara wanataka kuondolewa kwa vikwazo vya kibiashara dhidi yao
Your browser doesn’t support HTML5
Wanawake wafanyabiashara wanataka kuondolewa kwa vikwazo vya kibiashara hasa vinavyo husiana na tofauti za kijinsia, sambamba na vile vinavyoweka mazingira magumu ya kibiashara baina ya mataifa ya Afrika.