Duniani Leo Waziri Blinken aelekea Nigeria 18 Novemba, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akamilisha ziara ya Kenya na yuko njiani akielekea Nigerią. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari