Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alaani mapigano yanayoendelea Sudan

Your browser doesn’t support HTML5

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amelaani mapigano yanayoendelea nchin Sudan na mashambulizi kwa wanadiplomasia.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan amesema nchi za G7 zimekubaliana kupinga vita vya Russia vya ukandamizi nchini Ukraine.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari