Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Blinken akutana na mwenzake wa Misri

Your browser doesn’t support HTML5

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na mwenzake wa Misri huko Cairo kufanya mazungumzo yanayolenga mgogoro wa Israel na Hamas.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari