- Mzozo wa Ukraine umevuruga usammbazaji chakula na bei ya bidhaa duniani, ameeleza Rais Biden.
- Maoni tofauti yanaendelea kuibuka baada ya kamati kuu ya chama cha upinzani Chadema kuwavua uanachama wabunge 19 wa chama hicho.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari