ratiba ya matangazo
06:00 - 06:30
Shangwe na vigelegele baada ya Ivory Coast kushinda fainali za Afcon
Sebastien Haller alifunga bao la ushindi dakika tisa kabla ya mchezo kumalizika wenyeji Ivory Coast wakinyakua taji la tatu la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Nigeria kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Alassane Ouattara mjini Abidjan Jumapili (Februari 11).
19:30 - 19:59
Mapigano makali yaendelea kushuhudiwa karibu na Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.