ratiba ya matangazo
19:30 - 19:59
Kiongozi wa upinzani Kenya asema kuwa haki inahitajika kabla ya mazungumzo na serikali
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.