ratiba ya matangazo
19:30 - 19:59
Marekani imeitambua Kenya kama mshirika mwema wa NATO asiyekuwa mwanachama
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.