ratiba ya matangazo
19:30 - 19:59
Washukiwa wa jaribio la mapinduzi la Sierra Leone wapewa vifungo virefu vya jela.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.