ratiba ya matangazo
19:30 - 20:00
Madaktari nchini Kenya wamesitisha mgomo wao ambao umedumu kwa takribani siku 56.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.