Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2019
update
AFCON 2019 MISRI : Mahojiano na mchambuzi Kashasha
Mwandishi wa VOA Sunday Shomari akizungumza na Mwalimu Kashasha nchini Misri masaa machache kabla ya mechi ya Tanzania na Senegal, Jumapili
update
AFCON 2019 MISRI : Mahojiano Maalum
Mwenyekiti wa Chama cha Soka Burundi Urio Reverian atoa ufafanuzi kuhusu mechi ya Jumamosi wakati akihojiwa na Mwandishi wa VOA Sunday Shomari...
update
Mahojiano maalum na kapteni wa timu ya Tanzania
Mwandishi wa VOA Sunday Shomari akimhoji Kapteni wa Timu ya Tanzania Mbwana Samatta nchini Misri
update
AFCON 2019 : Je, ulishuhudia haya maajabu?
Baadhi ya picha zilizokuwa na mvutio mkubwa kwa watazamaji siku ya Ijumaa wakati wa pambano kati ya Misri na Zimbabwe.
update
Wamisri washeherekea ushindi
Wananchi wa Misri wajitokeza mitaani kusheherekea ushindi baada ya kuifunga Zimbabwe
update
Misri yaifunga Zimbabwe goli moja bila
Hali ilivyokuwa kabla ya mechi kuanza katika uwanja wa mpira nchini Misri.