Kampeni za uchaguzi zapamba moto Marekani.
Raisi wa 44 wa Marekani Barack Obama anafanya kampenzi za kuhamasisha wanachama wa chama chake pamoja na watu wasio na msimamo wa vyama ili kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi mdogo utakaofanyika Novemba 6. Kwa upande wa Republican kampeni zao zinaongozwa na rais Donald Trump.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.