Akihojiwa na Mwandishi wetu Sunday Shomari katika kipindi cha Kwa Undani, pia pamoja na mambo mengine amegusia matumizi ya neno udhaifu katika ripoti za CAG. Amehoji suala la kujiuzulu limetokea wapi. Amesisitiza kuwa iwapo kila mmoja atatekeleza majukumu yake kikatiba, ripoti lazima ifanyiwe kazi na mapendekezo yote ya ripoti lazima yatekelezwe.
Matukio
-
Februari 19, 2025Kenya yalaumiwa kwa kuruhusu RSF kukutana Nairobi
-
Novemba 25, 2024REPORT SIKU 16 ZA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA.mp3
-
Mei 28, 2024Biden na Trump watafuta kura za wanawake
-
Mei 01, 2024Rwanda yaunda mkakati mpya wa ajira kwa vijana
-
Februari 05, 2024Ziara ya rais wa Poland nchini Kenya kuimarisha ushirikiano