Maadhimisho ya Miaka 400 tangu watumwa wa kwanza kuwasili Marekani
Miaka 400 tangu waafrika wa kwanza waliofanywa watumwa kuwasili katika ardhi ya marekani. nchini Ghana maadhimisho haya yanaitwa “Mwaka wa Kurejea (nyumbani)” na nchi hiyo inakaribisha vizazi vya waafrika katika nchi za magharibi kwa kuwarahisishia visa na kuandaa matukio kadha kuhusu asili yao,
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.