Mkutano wa G7 ufanyika nchini Ufaransa
Mkutano wa viongozi wa mataifa 7 tajiri dunaini G7 ulimalizika jana nchini ufaransa huku ikionekana kama Rais Donald Trump wa Marekani hakuweza kukubaliana na wenzake kuhusu masuala muhimu ikiwa ni pamoja na vita vya biashara kati ya Marekani na Uchina, namna ya kukabiliana na masuala ya nuklia ya Iran na Korea kaskazini hadi suala la kuirudisha Rushia katika kundi hilo.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.