Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Julai 11, 2025 Local time: 21:26

Kiongozi wa mapinduzi Sudan atangaza baraza jipya la uongozi


Kiongozi wa mapinduzi Sudan atangaza baraza jipya la uongozi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kiongozi wa mapinduzi nchini Sudan Abdel Fattah al-Burhan atangaza baraza jipya la uongozi akijiteua mwenyewe kuwa kiongozi na kuwaacha nje wajumbe wa kiraia wa baraza lililopita.

Matangazo ya Duniani Leo yanawajia kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.#habari
XS
SM
MD
LG