Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Julai 09, 2025 Local time: 09:52

Marekani na Russia kuzungumzia mvutano wa Ukraine


Marekani na Russia kuzungumzia mvutano wa Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wawakilishi wa Marekani na Russia wanakutana kujadili mivutano kwenye mpaka wa Russia na Ukraine.

Shule zafunguliwa Uganda baada ya kufungwa kwa takriban miaka miwili kutokana na janga la Corona.

Mashirika ya kutoa misaada yasitisha shughuli zake Tigray kufuatia mashambulizi ya makombora.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
XS
SM
MD
LG