- Marekani imaeanza kutuma shehena ya silaha Ukraine kufuatia mzozo wa Russia na Ukraine.
- Serikali ya Uganda imeongeza idadi ya wanajeshi wake katika Wilaya ya Beni, DRC kwenye harakati za kupambana na makundi ya waasi.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari