Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Julai 08, 2025 Local time: 23:20

Utulivu warejea Burkina Faso baada ya kuzuka uasi wa kijeshi


Utulivu warejea Burkina Faso baada ya kuzuka uasi wa kijeshi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Hali ya maisha katika mji mkuu wa Burkina Faso imerejea kuwa ya kawaida Jumatatu baada ya kuzuka uasi katika jeshi Jumamosi na Jumapili.

- Marekani imaeanza kutuma shehena ya silaha Ukraine kufuatia mzozo wa Russia na Ukraine.

- Serikali ya Uganda imeongeza idadi ya wanajeshi wake katika Wilaya ya Beni, DRC kwenye harakati za kupambana na makundi ya waasi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.

#habari

XS
SM
MD
LG