Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Julai 06, 2025 Local time: 08:16

Nchi za Magharibi zamtahadharisha Putin juu ya gharama atakayolipa


Nchi za Magharibi zamtahadharisha Putin juu ya gharama atakayolipa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Mataifa ya Magharibi yamuonya Vladimir Putin kwamba atalipia gharama ya uharibifu unaotokea Ukraine.

Rais Zelenskyy ataka NATO kuonyesha nguvu zake za kijeshi huku akiomba msaada zaidi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG