Uhaba wa mafuta Kenya wazidi kuliumiza taifa hilo, huku miji mikubwa ikiripoti misururu mirefu ya magari katika vituo vya mafuta.
Umoja wa Mataifa imeripoti kuwa mapigano kati ya serikali ya Ethiopia na waasi huko Tigray yawakosesha makazi watu zaidi ya milioni 2.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari