Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 05, 2025 Local time: 00:17

Kenya yaomboleza kifo cha Mwai Kibaki


Kenya yaomboleza kifo cha Mwai Kibaki
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kipindi cha maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti nchini Kenya kufuatia kifo Ijumaa cha Rais wa tatu wa nchi hiyo, hayati Mwai Kibaki.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG