Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 28, 2025 Local time: 23:55

UN yasema haina ushahidi kuwa walinda amani walifyatua risasi kwa raia


UN yasema haina ushahidi kuwa walinda amani walifyatua risasi kwa raia
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Umoja wa Mataifa umesema hauna ushahidi hadi sasa kwamba walinda amani wake walifyatua risasi kwa raia katika siku tatu za maandamano ya kupinga vikosi vyake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG