Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Mei 05, 2025 Local time: 06:37

Mahakama ya Juu Kenya yaidhinisha ushindi wa William Ruto kuwa Rais wa tano


Mahakama ya Juu Kenya yaidhinisha ushindi wa William Ruto kuwa Rais wa tano
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mahakama ya Juu nchini Kenya imefikia uamuzi katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu kuwa William Ruto ndiye Rais mteule wa Kenya.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG