Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 08, 2025 Local time: 19:24

UN yaanza uchunguzi baada ya Monusco kushutumiwa kwa mauaji DRC


UN yaanza uchunguzi baada ya Monusco kushutumiwa kwa mauaji DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Umoja wa Mataifa umeanzisha uchunguzi kubaini kile kilichosabisha mauaji ya raia wanne wa DRC, huku ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, Monusco, ukinyooshewa kidole.

XS
SM
MD
LG