Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Juni 23, 2025 Local time: 04:30

Kundi la waasi wa M23 mashariki mwa DRC limetoa taarifa liko tayari kuondoka eneo hilo


Kundi la waasi wa M23 mashariki mwa DRC limetoa taarifa liko tayari kuondoka eneo hilo
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Kundi la waasi wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetoa taarifa liko tayari kuondoka katika maeneo iliyoyakalia kutimiza masharti muhimu kwenye mkutano wa amani uliofanyika Luanda, Angola.

- Nishangwe kuanzia Casablanca hadi Doha baada ya wawakilishi wa Afrika Morocco waliobaki huko Qatar kuwaangusha vigogo wa soka Ulaya Spain na kusonga mbele kwenye nane bora za Kombe la Dunia.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG